-
Rais Barack Obama aendelea kuongeza shinikizo kwa Baraza la Seneti lipitishe Sheria ya Mabadiliko ya Umiliki wa Silaha
-
Watu 56 wapoteza maisha nchini Argentina kufuatia kutokea kwa mafuriko mabaya yaliyochangiwa na kunyesha kwa mvua
-
Marekani yatangaza zawadi ya Dola Milioni 5 kwa atayakayefanikisha kukamatwa kwa Kiongozi wa LRA Joseph Kony
-
Korea Kaskazini yatoa ruhusa kwa Jeshi lake kutumia silaha za nyuklia kwenye mashambulizi yake dhidi ya Marekani