Wimbi la Siasa
Mjadala mkali Tanzania juu ya katiba mpya kwanza au mageuzi ya uchaguzi
Imechapishwa:
Cheza - 10:01
Mwishoni mwa wiki jana mjadala umeibuka kati ya wadau wa kisiasa nchini Tanzania kuhusu nini kingekuwa cha kwanza kuwasilishwa bungeni, muswada wa marekebisho ya katiba au sheria za uchaguzi.
Matangazo ya kibiashara
Ni mjadala ambao umewagawa hata wapinzani, ambapo chama kikuu cha upinzani Chadema chenyewe kinataka katiba mpya kwanza, huku vyama vingine vyenyewe vikisema sheria ya uchaguzi ianze.
Wachambuzi ni pamoja na Jawadu Mohammed kutoka Tanzania pia Dr. Nicodemus Minde akiwa nchini Kenya.