Wimbi la Siasa
Baraza la usalama la UN kuidhinisha Kenya kuongoza kikosi cha polisi cha kimataifa nchini Haiti
Imechapishwa:
Cheza - 10:03
Kenya ilijitolea kuongoza kikosi hicho ambacho kimepewa mamlaka ya kukabiliana kwa mtutu na makundi yenye silaha nchini humo ambayo kwa muda mrefu yametatiza usalama wa taifa taifa hilo la Karibia.