Wimbi la Siasa
DRC: Viongozi wakutana Kinshasa kutathmini hali ya dharura Kivu Kaskazini na Ituri
Imechapishwa:
Cheza - 10:01
Viongozi kutoka kwenye majimbo mawili ya Ituri na Kivu Kaskazini wanazungumza na wale wa Serikali kuu, kuhusu ikiwa makataa ya hali ya dharura iliyotangazwa kwenye majimbo yao iondolewe au la, ingawa wanasiasa wengi kutoka kwenye maeneo hayo wanataka iondolewe.