Nchini Niger viongozi wa mapinduzi wamekatakata kuonana na ujumbe wa ECOWAS kujadili mchakato wa kurejesha madarakani rais Mohamed Bazoum.
Matangazo ya kibiashara
Hii ni licha ya ECOWAS kutishia kutumia nguvu kumrejesha madarakani rais Bazoum, wakati vikwazo wa viongozi wa mapinduzi vikiendelea kutolewa.
Katika makala haya Benson Wakoli na wachambuzi wa siasa za kimataifa Mali Ali akiwa katika visiwa vya Mayotte na Jawadu Mohamed akiwa nchini Tanzania, wanadadavua hali nchini Mali.