Wimbi la Siasa
Mazungumzo ya amani kuhusu Mashariki mwa DRC yanafanyika jijini Nairobi
Imechapishwa:
Cheza - 09:47
Makundi ya waasi, serikali ya DRC, mashirika ya kiraia na wadau wengine, wapo jijini Nairobi kwa ajili ya mazungumzo ya tatu ya amani, ili kuleta amani Mashariki mwa nchi hiyo. Je, suluhu itapatikana ?