Wimbi la Siasa
Sudan: Jeshi latangaza kujiondoa kwenye mazungumzo ya kisiasa
Imechapishwa:
Cheza - 10:03
Uongozi wa kijeshi nchini Sudan Jenerali Abdel Fattah al-Burhan ametangaza kuwa, jeshi linajiondoa kwenye mazungumzo ya kisiasa ili kutoa nafasi kwa viongozi wa kiraia kuunda serikali kufuatia mwendelezo wa maandamano. Je, jeshi linamaanisha katika uamuzi wake ? Tunachambua.