Wimbi la Siasa
Kenya: Nani atakuwa mgombea mwenza wa Raila Odinga na William Ruto ?
Imechapishwa:
Cheza - 10:09
Nchini Kenya, joto la kisiasa linaendelea kupanda kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwezi Agosti. Lakini je, wagombea wakuu wa urais Raila Odinga na William Ruto watawateua nani kuwa wagombea wenza ?