Wimbi la Siasa
Wasiwasi wa kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu nchini DRC mwaka 2023
Imechapishwa:
Cheza - 10:05
Wiki hii tunaangazia maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2023 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Mashirika ya kiraia zaidi ya 60 za ndani na nje ya nchi hiyo, yanaonya kuwa, kuna dalilil za uchaguzi huo kucheleweshwa kama ilivyoshuhudiwa mwaka 2011 na 2018. Tunachambua na wanaharakati.