Siha Njema
Wauguzi wanaowahudumia wagonjwa wa saratani walia kubeba mzigo mkubwa unaowaathiri hata afya zao
Imechapishwa:
Cheza - 09:48
Idadi ya wagonjwa wanaougua saratani inazidi kupanda kila siku,katika mataifa ya ulimwengu,vile vile idadi ya vifo vinavyosababishwa na saratani
Matangazo ya kibiashara
Wauguzi wanaowahudumia wagonjwa hao hulazimika kutembea na mgonjwa ambaye mara nyingi huwa na maumivu makali , kudhurika wakati wa matibabu ,wengine kufariki na inapotokea ,muuguzi ndiye anayehitajiwa kuwashughulikia pia familia zao.