Pata taarifa kuu
Siha Njema

Upandikizaji viungo vya mwili Afrika Mashariki

Imechapishwa:

Kupandikiza au kuhamisha viungo vya mwili kama njia mojawapo ya matibabu inazidi kushika kasi .Mataifa mengi yanafanya upandikizaji wa figo ,moyo ,ini ,Cornea na sehemu za umme.

Daktari Yusuf Mahat kutoka hospitali ya rufaa ya Nakuru nchini Kenya kwenye mahojiano katika studio za RFI Kiswahili
Daktari Yusuf Mahat kutoka hospitali ya rufaa ya Nakuru nchini Kenya kwenye mahojiano katika studio za RFI Kiswahili © RFI
Matangazo ya kibiashara

Kuna hata hivyo changamoto katika hili,mataifa bado hayana sheria za kutosha kusimamia zoezi hili. Kwa sasa upandikizaji unafanyika kwa watu wanaohusiana huku kukiwa na hitaji kubwa ya viungo muhimu vya mwili.Hii ni kutokana na kuwepo wagonjwa wengi wanaopata viungo vyao muhimu vimefeli kutokana nao kuwa na magonjwa yasiyoambukizwa.

Vipindi vingine
  • 10:14
  • 10:20
  • 08:40
  • 10:25
  • 10:09
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.