Magonjwa yaliyotengwa kama Matende bado yanawapa changamoto nyingi raia wengi
Matangazo ya kibiashara
Matende au Elephantiasis ni baadhi ya magonjwa yaliyotengwa au kusahaulika ijapokuwa madhara yake ni makubwa.Mara nyingi matibabu yake huwa gharama juu wakati kinga kupitia dawa za minyoo imeendelea kupuuzwa na raia wengi kutokana na dhana kuwa dawa zinazosambazwa bila malipo na serikali si vya viwango vya juu