Pata taarifa kuu
Siha Njema

Kuipa hedhi heshima kama haki ya msingi miongoni mwa wanawake

Imechapishwa:

Umaskini  umechangia wasichana wengi kukosa Sodo  na kushindwa kwenda shule

Wanafunzi wa shule ya msingi  ya  mchinchirini ,iliyoko Msambweni Pwani ya Kenya
Wanafunzi wa shule ya msingi ya mchinchirini ,iliyoko Msambweni Pwani ya Kenya © Victor Moturi
Matangazo ya kibiashara

Ukosefu wa sodo ndio umeonekana kuchangia wasichana wengi nchini Kenya kutoudhuria shule hasa maeneo ya mashinani.Utamaduni pamoja na ufukara ndivyo vimeonekana kuchangia halii hii kwa asilimia kubwa.

Utafiti uliofanywa na shirika la Borgen, asilimia 65 ya wasichana na wanawake nchini kenya hukumbwa na ukosefu wa sodo hivyo kuathiri masomo na shughuli zao za kila siku.

Lakini hata hivyo katika kaunti ya kwale ,idadi ya wasichana imeanza kuongezeka shuleni baada ya jamii pamoja na mashirika mbalimbali kuanzisha mpango wa ugavi wa sodo kwa wasichana.

Vipindi vingine
  • 10:20
  • 08:40
  • 10:25
  • 10:09
  • 09:55
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.