Siha Njema
Nafasi ya wauguzi kwenye mkondo wa huduma za afya na huduma za afya kwa wanaoishi na ulemavu
Imechapishwa:
Cheza - 10:03
Kila Mei kati ya tarehe 8- 14 dunia huwaenzi wauguzi ambao ni kiungo muhimu kwenye huduma za afya.
Matangazo ya kibiashara
Kwenye makala haya tunaangazia wauguzi na mchango wao kutoa huduma za afya .Tumezungumza na nesi Caroline Mwangi anayehudumu katika chumba cha dharura katika shirika la madaktari wasio na mipaka,MSF,nchini Kenya.
Tumezungumza pia na Faustin Chepchirchir kutoka shirika linalowashughulikia watu wanaoishi na ulemavu kuhusu namna ya kuboresha ubora wa huduma za afya kwa watu wa makundi tengwa