Pata taarifa kuu
Siha Njema

Nafasi ya wauguzi kwenye mkondo wa huduma za afya na huduma za afya kwa wanaoishi na ulemavu

Imechapishwa:

Kila Mei kati ya tarehe 8- 14 dunia huwaenzi wauguzi ambao ni kiungo muhimu kwenye huduma za afya.

Muuguzu katika hospitali ya Mulago ,Kampala
Muuguzu katika hospitali ya Mulago ,Kampala © courtesy
Matangazo ya kibiashara

Kwenye makala haya tunaangazia wauguzi na mchango wao kutoa huduma za afya .Tumezungumza na nesi Caroline Mwangi anayehudumu katika chumba cha dharura katika shirika la madaktari wasio na mipaka,MSF,nchini Kenya.

Tumezungumza pia na Faustin Chepchirchir kutoka shirika linalowashughulikia watu wanaoishi na ulemavu kuhusu namna ya kuboresha ubora wa huduma za afya kwa watu wa makundi tengwa

Vipindi vingine
  • 10:20
  • 08:40
  • 10:25
  • 10:09
  • 09:55
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.