Pata taarifa kuu
Siha Njema

Dunia yaadhimisha siku ya Malaria

Imechapishwa:

Ulimwengu huadhimisha siku ya malaria kila tarehe 25 mwezi wa nne. Malaria ni ugonjwa wa kuambukiza ambao unaenezwa na mbu wa jenasi  anayefahamika kama Anopheles na kusababishwa na kidubini aina ya Plasmodium.

Dunia yaadhimisha siku ya Malaria
Dunia yaadhimisha siku ya Malaria © Dr. MeddY
Matangazo ya kibiashara

Kulingana na shirika la afya duniani Nigeria inasajili visa hivyo  kwa asilimia 31.3, DRC asilimia 12.3,Tanzania kwa asilimia 4.1 na Niger kwa asilimia 3.9.

Vilevile Kulingana na ripoti ya shirika la maendeleo ya Ufaransa nchini Kenya  AFD ni kwamba Kisumu inaongoza kwa visa vya malaria kwa hadi asilimia 40.

Na Kwenye makala haya tunazungumzia ugonjwa huu na jinsi ya kupambana nao. Nimezungumza nae Peris Oloo  ambae anaugua malaria na anaelezea baadhi ya dalili alizokua nazo.kisha Daktari anaezungumzia Ugonjwa huu kwa kina na jinsi mtu anaeza uepuka.

Vipindi vingine
  • 10:20
  • 08:40
  • 10:25
  • 10:09
  • 09:55
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.