Ugonjwa wa Marburg unavyosambaa Afrika na mapambano ya TB nchini Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 10:22
Mataifa zaidi barani Afrika yameripoti virusi vya Marburg . Na kwenye mapambano ya TB nchini Kenya,ingawaje bado kuna idadi kubwa ya TB Sugu ,teknolojia mpya ya Gene expert iliyoboreshwa imeendelea kuchangia ubainishaji wa haraka
Equitoria Guinea imeripoti vifo 8 vinavyohusishwa na ugonjwa wa Marburg,huku Tanzania ikiwa imeripoti vifo vya watu watano.
Na kwenye mapambano ya TB nchini Kenya Michael Macharia mshauri wa kiufundi katika kanisa katoliki na pia Peter Muchui shujaa wa kupambana na TB wameeleza kuna hatua nyingi ambazo Kenya imepiga kuelekea mwaka wa 2030 ambapo mataifa yanatazamiwa yawe yameelekea kuushinda ugonjwa huo