Pata taarifa kuu
Siha Njema

Mapambano ya kumaliza kifua kifuu nchini Kenya kuelekea mwaka 2035

Imechapishwa:

Kwa mujibu wa mpango kazi wa shirika la afya duniani,WHO,mataifa yanastahili kupunguza vifo vinavyosababishwa na TB kwa asilimia 90 na maambukizo mapya kwa asilimia 80.

Kushoto Peter Praise  shujaa wa TB nchini Kenya,Kulia Michael Macharia mshauri wa kiufundi kuhusu huduma za TB,katika kanisa katoliki nchini Kenya ,kwenye mahojiano kuhusu TB
Kushoto Peter Praise shujaa wa TB nchini Kenya,Kulia Michael Macharia mshauri wa kiufundi kuhusu huduma za TB,katika kanisa katoliki nchini Kenya ,kwenye mahojiano kuhusu TB © RFI Kiswahili
Matangazo ya kibiashara

Kila mwake tarehe 24 mwezi Machi ,dunia huungana kuadhimisha siku ya TB , kaulimbiu ya siku ya kifua kikuu duniani mwaka huu. ikiwa  Ndiyo tunaweza kuwekeza zaidi kumaliza Kifua Kikuu nchini Kenya kufikia 2035 ikiwa tutashirikiana. Kukomesha Kifua Kikuu nchini Kenya si jukumu la Wizara ya Afya kupitia mpango wa kitaifa wa Kifua Kikuu pekee bali ni jukumu letu sote.

Aidha katika makala haya ,utaskia utambulisho kuhusu usafi wa kinywa naye daktari David Amenya.

Vipindi vingine
  • 10:20
  • 08:40
  • 10:25
  • 10:09
  • 09:55
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.