Pata taarifa kuu
Siha Njema

Magonjwa yaliyotengwa ya Chikungunya na Homa ya Dengue bado changamoto

Imechapishwa:

Magonjwa yaliyotengwa ingawaje hayajapewa kipau mbele bado ni changamoto kwa raia katika mataifa yanayoendelea

Daktari Hussein Gure Bilal Mkuu wa kitengo cha magonjwa yaliyotengwa kaunti ya Mombasa
Daktari Hussein Gure Bilal Mkuu wa kitengo cha magonjwa yaliyotengwa kaunti ya Mombasa © Carol Korir
Matangazo ya kibiashara

Katika makala haya ,tunakufahamisha kuhusu ugonjwa wa Chikungunya na Homa ya Dengue,inayosababishwa na mbu anayependa mahali pana joto.Katika maeneo haya aina ya mbu anayebeba virusi vinavyosababisha magonjwa haya mawili yenye dalili za kufanana ,huzalia katika maeneo yenye maji maji na huambukiza hata mchana.Daktari Hussein Gure Bilal anasimamia kitengo cha magonjwa yaliyotengwa katika kaunti ya Mombasa

Vipindi vingine
  • 10:20
  • 08:40
  • 10:25
  • 10:09
  • 09:55
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.