Siha Njema
Magonjwa yaliyotengwa ya Chikungunya na Homa ya Dengue bado changamoto
Imechapishwa:
Cheza - 10:04
Magonjwa yaliyotengwa ingawaje hayajapewa kipau mbele bado ni changamoto kwa raia katika mataifa yanayoendelea
Matangazo ya kibiashara
Katika makala haya ,tunakufahamisha kuhusu ugonjwa wa Chikungunya na Homa ya Dengue,inayosababishwa na mbu anayependa mahali pana joto.Katika maeneo haya aina ya mbu anayebeba virusi vinavyosababisha magonjwa haya mawili yenye dalili za kufanana ,huzalia katika maeneo yenye maji maji na huambukiza hata mchana.Daktari Hussein Gure Bilal anasimamia kitengo cha magonjwa yaliyotengwa katika kaunti ya Mombasa