Siha Njema
Mjadala wa uavyaji mimba baada ya Marekani kufuta sheria iliyokuwa inahalalisha uavyaji mimba.
Imechapishwa:
Cheza - 09:21
Kwenye makala haya tunaangazia hatua ya Marekani kurejesha marufuku ya uavyaji mimba.Je hatua hiyo itaathiri misimamo ya mataifa mengine?