Katika Makala tunazungumzia msambao wa hatari wa Monkey Pox ambao umefanya shirika la afya duniani kutangaza janga la hatari.Pia tunaangazia ugonjwa wa homa ya Mgunda ulioripotiwa kusini mwa nchi ya Tanzania.
Vipindi vingine
-
Mimba za utotoni zaendelea kuongezeka ukanda wa Afrika Mashariki
Idadi kubwa ya wasichana wanaopata mimbo za utotoni wapo katika nchi za Afrika kwa mujibu wa shirika la afya duniani pia UNFPA08/05/202410:20 -
Methadone yatumika kuwasaidia waraibu wa dawa za kulevya kupambana na Ukimwi
Kenya imeanza kutumia Methadone kupambana na Ukimwi baada ya Tanzania07/05/202408:40 -
Ajali za barabara Afrika huchangiwa na utepetevu, kasi na msongo wa mawazo
Ajali za barabara huchangia vifo vingi vya watu walio katika umri kati ya miaka mitano hadi 29 kwa mujibu wa WHO23/04/202410:25 -
Watu wengi wanajikuta na magonjwa ya figo na ini,watoto wengi Sudan wakiaga
Kuna ongezeko la magonjwa ya figo na ini kwa mujibu wa shirika la afya duniani17/04/202410:09 -
Uhitaji wa huduma za dharura za afya washika kasi ukanda wa Afrika
Shirika la AMREF Flying doctors linaonya kuwa mlipuko wa magonjwa yasiyoambukizwa yanazidi kuongeza uhitaji huku wigo la kupanua biashara likitanuka pia10/04/202409:55