Pata taarifa kuu
Siha Njema

Njia ya kupanga uzazi kwa wanaume kukatwa mshipa wa uzazi

Imechapishwa:

Takwimu za umoja wa mataifa , zimetaja ,Afrika  ya Mashariki  kuwa  eneo linaloongoza katika  ukuaji wa  idadi ya watu ,  barani Afrika ,ikiwa na watu   zaidi ya milioni 457.Kukabiliana na hali hii ,Shirika la afya duniani, WHO, pamoja na jamii ya umoja wa mataifa bado zimeendelea kusisitiza umuhimu wa  uzazi wa mpango, kwa kushauri wanaume kujiunga kwa kampeini hii kwa kutumia mpira au condom au kukata mshipa wa uzazi maarufu vascectomy .Skiza makala haya Kwa ufahamu zaidi

Mwanaume aliyefika hospitalini kufanyiwa  Vascectomy,
Mwanaume aliyefika hospitalini kufanyiwa Vascectomy, Maria Tan AFP
Vipindi vingine
  • 10:25
  • 10:09
  • 09:55
  • 09:59
  • 10:23
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.