Pata taarifa kuu
Siha Njema

Visa vya wanawake na wasichana kubakwa nchini DRC

Imechapishwa:

Wiki hii yameangazia vitendo vya ubakaji katika mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Shirika la MSF limesema katika mwaka mmoja uliopita ,limewatibu wahanga karibu elfu 11 wa ubakaji. Dhulma hizo zimechangiwa na utovu wa usalama ambao pia umeathiri utoaji huduma za matibabu ,huku mamlaka nchini humo zikishindwa kuwapa wahanga msaada wanaohitaji.

Daktari Denis Mukwege mshindi wa Tuzo ya Nobel mwaka 2018 anayewatibu wanawake na wasichana waliobakwa nchini DRC
Daktari Denis Mukwege mshindi wa Tuzo ya Nobel mwaka 2018 anayewatibu wanawake na wasichana waliobakwa nchini DRC Behrouz MEHRI AFP
Vipindi vingine
  • 10:14
  • 10:20
  • 08:40
  • 10:25
  • 10:09
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.