Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Zaiara ya mfalme wa tatu wa Uingereza, kukamatwa kwa muasi wa ADF Uganda

Imechapishwa:

Makala ya wiki hii imeangazia matukio kadhaa yaliyojitokeza wiki hii kote ulimwenguni, miongoni ni pamoja na ziara ya mfalme Charles wa tatu wa Uingereza nchini Kenya, ambapo pia rais wa shirikisho la Ujerumani Frank-Walter Steinmeier kule Tanzania, hali ya kisiasa na kiusalama nchini DRC, mkutano kuhusu utalii barani Afrika ulitamatika jijini Kigali, nchini Rwanda, na matukio mengine yaliyoshuhudiwa kwenye ukanda huu na kwengineko duniani.

Mfalme Charles III wa Uingereza alipowasili katika jiji kubwa la pwani la Mombasa, Kenya akifkamilisha ziara yake nchini humo, Novemba 3, 2023.
Mfalme Charles III wa Uingereza alipowasili katika jiji kubwa la pwani la Mombasa, Kenya akifkamilisha ziara yake nchini humo, Novemba 3, 2023. © Ikulu Nairobi
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.