Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Matukio ya wiki hii, kifo cha kiongozi wa wagner, siasa za DRC, Kenya, na kwengineko
Imechapishwa:
Cheza - 19:58
Makala ya Yaliyojiri wiki hii,imeangazia kuenea kwa taarifa ya kifo cha mtu anayedaiwa kuwa kiongozi wa kundi la mamluki wa Wagner Yevgeny Prigozhin, mkutano wa Brics huko Johannesburg Afrika kusini, siasa za Kenya, DRC, matukio ya kule Uganda, uchaguzi wa Gabon, pia hali inavyoendelea Niger na kwengineko duniani