Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Hali ya dharura mashariki ya DRC, siasa za Kenya, Niger na kwengineko
Imechapishwa:
Cheza - 20:03
Tathmini juu ya hali ya dharura iliyotangazwa na rais wa DRC Felix Tshisekedi kwenye mikowa ya Kivu kaskazini na Ituri, Siasa za Kenya, kukamatwa kwa Dokta Slaa mwanasiasa mkongwe wa nchini Tanzania, Hali ya huko Sudan, Niger na kwengineko duniani. Kupata mengi zaidi, ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka