Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Taasisi za kimataifa zasikitikia mazingira anayozuiliwa Mohamed Bazoum
Imechapishwa:
Cheza - 20:02
Tumekuandalia mengi tu ikiwemo mazungumzo kati ya serikali na upinzani yalioaanza kule nchini Kenya, siasa na maandalizi ya uchaguzi mkuu huko nchini DRC na mengine mengi tu.