Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Maandamano ya upinzani nchini Kenya, DRC mauaji ya Okende yalipangwa asema Ambongo
Imechapishwa:
Cheza - 20:11
Makala hii imeangazia kuhusu maandamano yaliyoitishwa na wapinzani nchini Kenya, ziara ya rais wa Hungary nchini Tanzania, lakini pia uchunguzi kuhusu mauaji ya Cherubin Okende, mwanasiasa mshirika wa karibu wake Moise Katumbi, aliyeuawa katika mazingira tatanishi katika mji mkuu wa Kinshasa, nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo lakini pia siasa za kikanda, na mambo mengine duniani..