Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Mkutano kuhusu madeni na mabadiliko ya tabianchi watamatika Paris Ufaransa, usalama DRC

Imechapishwa:

Makala hii imeangazia mkutano wa kimataifa unaolenga kutafuta mwafaka kuhusu namna ya kubadili mfumo wa ufadhili wa kifedha na namna ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kwenye mataifa yote ya dunia. Shambulio liliotekelezwa na waasi wa Uganda ADF dhidi ya shule moja laua 42, na mkataba wa kibiashara kati ya Kenya na Umoja wau laya, mchakato wa uchaguzi nchini DRC na pia yaliyojiri kwenye mataifa mengine duniani..

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, katikati, akizungumza wakati viongozi wengine wakisikiliza wakati wa kikao cha kufunga mkutano wa kilele wa New Global Financial Pact, huko Paris Juni 23, 2023.
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, katikati, akizungumza wakati viongozi wengine wakisikiliza wakati wa kikao cha kufunga mkutano wa kilele wa New Global Financial Pact, huko Paris Juni 23, 2023. © REUTERS/POOL
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.