Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Rais Tshisekedi awateua Bemba na Kamerhe kuwa Mawaziri
Imechapishwa:
Cheza - 20:12
Miongoni mwa yale utakayosikia, ni hatua ya rais wa DRC Felix Tshisekedi kumteua Jean Pierre Bemba kuwa Waziri mpya wa Ulinzi na Vital Kamerhe kuwa Waziri wa Uchumi, maandamano ya upinzani nchini Kenya na makabiliano ya waandamanaji na polisi nchini Ufaransa kupinga mageuzi ya mfumo wa pensheni.