Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy azuru Marekani
Imechapishwa:
Cheza - 20:11
Baadhi ya matukio makubwa wiki hii ni pamoja na kundi la waasi wa M 23 kuanza kujiondoa Mashariki mwa DRC, siku 100 za uongozi wa rais wa Kenya William Ruto pamoja na rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy kuzuru nchini Marekani.