Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtuhumiwa wa mauaji ya kimbari afikishwa Hague, Francois Hollande azuru mashariki ya DRC
Imechapishwa:
Cheza - 20:04
Utasikia mengi miongoni ni pamoja na kusikilizwa kwa kesi dhidi ya mtuhumiwa wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda Felicien Kabuga, ziara ya rais wa zamani wa Ufaransa Francois Hollande mashariki ya DRC na pia mapinduzi mapya ndani ya mapinduzi mengine ya kijeshi nchini Burkina Faso, kimbunga Ian chahathiri maeneo makubwa Marekani na Cuba. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kusikiliza mengi zaidi.