Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Uchaguzi wa Kenya 2022, maandamano dhidi ya MONUSCO-DRC, China na Marekani mvutanoni
Imechapishwa:
Cheza - 20:02
Makala hii imeangazia kutamatishwa kwa kampeni za uchaguzi wa agosti 09 nchini Kenya, DRC yamfukuza msemaji wa Monusco, pia ripoti ya Umoja wa mataifa ikisema jeshi la Rwanda lilivuka mpaka kuwasaidia waasi wa M23, Muungano unaotawala huko Senegal ulipoteza viti Bungeni lakini pia Taiwan wiki hii ilisema ndege za kivita za China zimeingia katika eneo lake.Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kupata mengi zaidi