Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Wanajeshi 10 wa Burundi wauawa nchini Somalia, watu 12 wajeruhiwa jijini Kinshasa DRC
Imechapishwa:
Cheza - 20:09
Miongoni mwa habari kuu za dunia wiki hii ni pamoja na Burundi kusema wanajeshi wake 10 wanaohudumu kule Somalia chini ya mwavuli wa UN waliuawa katika katika shambulio la AlShabaab, waziri mkuu wa zamani wa DRC Matata Ponyo alitangaza nia ya kugombea kiti cha urais mwaka ujao, na ziara yake Katibu mkuu wa UN kwenye nchi za Afrika Magharibi, nakuondolewa kwa raia katika mji wa viwanda vya Vyuma huko Mariupol, Ukraine