Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
DRC na Uganda zakubaliana kupiga vita waasi wa ADF, Raila Odinga kuwania urais Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 20:14
Makala hii imeangazia makubaliano kati ya Uganda na DRC kupambana na waasi wa ADF mashariki ya DRC, huko Kenya waziri mkuu wa zamani na kiongozi wa ODM Raila Odinga atangaza kuwania kiti cha rais katika uchaguzi wa mwakani, na matukio mengine mengi ya juma hili kwenye ukanda wa Afrika mashariki na kati pia kwengineko duniani.