Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Diplomasia kati ya Kigali na Brussels mashakani, mwanahabari akamatwa DRC
Imechapishwa:
Cheza - 20:13
Makala hii imeangazia kuzorota kwa mahusiano ya kidiplomasia kati ya Rwanda na Ubelgiji kufuatia kesi ya Paul Rusesabagina, na huko DRC kukamatwa kwa mwandishi wa habari Sosthene Kambidi kupisha uchunguzi kuhusu mauaji ya wataalamu wawili wa Umoja wa mataifa Zaida Catalan na Michael Sharp mwaka 2017, pamoja na mengine mengi yaliyojiri kwenye Mataifa kadhaa.