Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Wanajeshi wa Marekani waondoka nchini Afghanistan
Imechapishwa:
Cheza - 20:09
Wiki hii, miongoni mwa Habari Kuu za dunia, tulilozipa nafasi kubwa kwenye chumba chetu cha Habari ni hatua ya wanajeshi wa Marekani kuondoka nchini Afghanistan baada ya miaka Ishirini.