Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Vurugu mauaji kuendelea DRC, mzozo wa mto Nile, Marekani kuondoa wanajeshi Afghanistan

Imechapishwa:

Nchini DRC wiki hii kuliripotiwa makabiliano makali kati ya jeshi la polisi na wakaazi wa eneo la Buhene jimboni Kivu kaskazini, nyumba kuteketezwa na mauaji mengine ya ajabu,wakati huko Barani afrika wiki hii waziri mkuu Hamdock alitangaza nia ya kumaliza mzozo wa mto Nile kati ya mataifa ya Misri na Ethiopia, kimataifa imeangaziwa hatua ya rais wa Marekani Joe Biden ya kuondoa wanajeshi wa nchi yake huko Afghanistan pamoja na waisilamu kote duniani kuanza funga ya mwezi wa ramadhani.

Wanaharakati wa vuguvugu la LUCHA wakiandamana katika soko la Virunga huko Goma mwaka 2018.
Wanaharakati wa vuguvugu la LUCHA wakiandamana katika soko la Virunga huko Goma mwaka 2018. PATRICK MEINHARDT / AFP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.