Habari RFI-Ki
COP28: Dunia yaidhinisha wito wa kuachana na nishati ya mafuta na gesi
Imechapishwa:
Cheza - 09:42
Dunia kwa mara ya kwanza imeidhinisha wito wa kuachana na nishati ya mafuta na gesi katika juhudi zakukabiliana na madiliko ya hali ya hewa.Na hii ni baada ya mkutano wa COP28 kule Dubai.Kwenye makala utakayosikiliza tulimuuliza msikilizaji wetu anafikiri mambo gani yatabadilika baada ya siku 13 za mazungumzo? na pengine alitarajia nini kutoka kwa mkutano huo