Ijumaa iliyopita nchi ya Kenya ilizindua mswada wake wenye utata unaosemekana kusaidia kuimarisha huduma za afya kwa wananchi wake.
Matangazo ya kibiashara
Mpango huo wa Afya ukionekana kuwa mzigo zaidi kwa Wakenya wenye mishahara ambao sasa watatozwa 2.75% ya mishahara yao, kugharamia hazina hiyo ya Afya.
Tumemuuliza msikilizaji kuwa ana maoni gani kuhusu hatua hii, nchini Kenya?
Na je serikali yako imefanya nini kuafikia huduma za afya kwa wote?