Habari RFI-Ki
Ziara ya rais wa Marekani Joe Biden nchini Israeli ina tija yoyote?
Imechapishwa:
Cheza - 10:04
Rais wa Marekani Joe Biden amesema nchi yake itashirikiana kwa karibu na Israeli na ameunga mkono kwamba wapiganaji wa kipalestina ndio waliohusika na shambulio la roketi katika hospitali ya Gaza. Tumekuuliza unadhani ziara yake nchini Israeli itabadilisha chochote? Nini kifanyike ilie kuepuka janga la kibinadamu huko Gaza?