Habari RFI-Ki
Afrika mbioni kutafuta suluhu ya changamoto ya ukosefu wa ajira kwa vijana
Imechapishwa:
Cheza - 09:59
Mwishoni mwa juma lililopita, dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya vijana, maadhimisho yaliofanyika wakati huu idadi kubwa ya vijana katika nchi za Afrika wakisalia bila ajira.