Habari RFI-Ki
ECOWAS imeutaka utawala wa kijeshi nchini Niger kurejesha utawala wa kiraia ndani ya wiki moja
Imechapishwa:
Cheza - 10:01
ECOWAS imetishia kutumia nguvu na kutangaza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Niger ,iwapo utawala wa kijeshi uliofanya mapinduzi ,hautarejesha utawala wa kiraia ndani ya wiki moja