Habari RFI-Ki
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir ameahidi uchaguzi uliocholeweshwa utafanyika mwakani
Imechapishwa:
Cheza - 09:58
Rais Salva Kiir na makamu wake wa kwanza Riek Machar watawania urais kwenye uchaguzi huo