Habari RFI-Ki
Ni mbinu zipi bora za kutumia ili kudhibiti mafuriko barani Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Mataifa ya ukanda wa Afrika mashariki yameshuhudia mafuriko makubwa ambapo mamia ya watu nchini Rwanda na DRC wamethibitishwa kufariki. Tumepata taswira ya hali ilivyo katika mataifa mbalimbali.Pia tumeuliza suluhu ya changamoto hizi za mafuriko ni nini? Tusikilize maoni ya wasikilizaji wetu.