Habari RFI-Ki
Maoni yako kuhusu mkutano wa viongozi wa ICGL unaotarajiwa kufanyika Bujumbura mei 6
Imechapishwa:
Cheza - 09:52
Viongozi wa kanda na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guteres watakutana mjini Bujumbura siku ya Jumamosi kujadili usalama mashariki mwa DRC, baada ya M23 kuanza kujiondoa. Mkutano huu unakuja huku DRC ikikosoa uimara wa EAC.Unatarajia nini kutoka kwa mkutano huu? Je, mamlaka ya kikosi cha EAC yaangaliwe upya?