Habari RFI-Ki
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani ahitimisha ziara yake nchini DRC na Sudan kwa ujumbe wa amani
Imechapishwa:
Cheza - 09:36
Makala haya ni maoni ya waskilizaji kuhusu Ujumbe wa kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis kwa viongozi wa mataifa ya DRC na Sudani Kusini kuhusu swala la amani.