Habari RFI-Ki
Matukio ya ajali za barabarani mwanzoni na mwishoni mwa mwaka katika mataifa ya afrika
Imechapishwa:
Cheza - 10:05
karibu mskilizaji wetu kuambatana nami mwanzo hadit amati wa Makala haya, ya Habari rafiki ambapo leo tunazungumzia kuhusuAjali mbaya za barabarani zilizoshudiwa Mwanzoni mwa mwaka huu katika mataifa kadhaa ikiwemo Uganda, Kenya, Tanzania, Rwanda na Senegal, matukio ambayo pia yameshuhudiwa mwishoni mwa mwaka uliopita, ambapo watu kadhaa wamepoteza maisha.Unafikiri nini chanzo cha ajili hizi za mwisho na mwanzoni mwa mwaka?Nini kifanyike kuepukana na ajali za aina hii?