Habari RFI-Ki
M 23 na Jeshi la DRC watakiwa kusitisha mapigano siku ya Ijumaa
Imechapishwa:
Cheza - 09:49
Rais wa Angola alikutana naye rais wa DRC Felix Tshisekedi na Waziri wa mambo ya nje wa Rwanda jijini Luanda siku ya Alhamisi na kukubaliana kuwa waasi wa M 23 na jeshi la DRC wasitishe mapigano siku ya Ijumaa kuanzia saa 12 jioni.Je unaamini waasi wa M23 wataheshimu uamuzi wa viongozi hao ?