Habari RFI-Ki
DRC : Mashirika ya kiraia yasitisha ushirikiano na MONUSCO
Imechapishwa:
Cheza - 09:57
Mashirika ya kiraia kwenye miji ya Beni, Butembo na Lubero nchini DRC yametangaza kusitisha ushirikiano na tume ya umoja wa mataifa ya kulinda amani MONUSCO.Unafikiri yanafaa kuungana na wanasiasa au yabakie huru kuamua? Haya hapa baadhi ya maoni yako.