Habari RFI-Ki
Kupanda kwa bei ya bidhaa muhimu msimu wa Ramadhani unapoanza
Imechapishwa:
Cheza - 09:59
Msimu wa Ramadhani ndio umeanza huku kukiwa na hali ya kupanda kwa bei ya bidhaa muhimu na uhaba. Hali hii haionekani tu barani Afrika bali ulimwenguni, na kulazimisha familia kupunguza baadhi ya matumizi katika msimu huu.Je, unaipangaje bajeti yako ya mwezi wa Ramadhani ?Hali ya Ramadhani ipoje katika nchi yako?